Unafikiria nini?
Kujifunza Kudhibiti Mawazo Yetu Je! Tafakari yako inakubalika kwa Mungu? Neno kutafakari ni shughuli inayofanyika akilini mwetu. Akili yako ndiyo lango la roho yako. Unaweza kumruhusu shetani aingie akilini mwako au kumtoa nje. Tunahitaji kulinda akili zetu kwa uangalifu sana. Zaburi 19:14… Soma zaidi