Kanisa ni Bibi-arusi wa Kristo
Uhusiano kati ya Mungu na watu wake ulielezewa kama ndoa hata katika Agano la Kale. Mungu alielezewa kuwa mwaminifu siku zote. Lakini mara nyingi watu wake hawakuwa waaminifu katika uhusiano huo. “Kwa maana Muumba wako ndiye mume wako; Bwana wa majeshi ndilo jina lake; na Mkombozi wako Mtakatifu wa Israeli; … Soma zaidi